Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 30, 2013

KUTOKA KWENYE VIWANJA VYA BUNGENI MJINI DODOMA LEO



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Aprili 30,2013. Katikati ni Mbunge wa Kibaha Vijijini, Abuu Hamoug Jumaa.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na  na Katibu Mkuu wa Wizara ya maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi (kushoto) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dar es salaam Apprili 30,2013.
Waziri wa Maliasili na Utalii (wapili Kulia)na Naibu wake, Lazaro Nyalandu wakiteta na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Maimuna Tarishi (wapili kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Nuru Milao kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Aprili 30, 2013.Picha na Ofisi  ya Waziri Mkuu

No comments :

Post a Comment