Kwa habari za kila siku Soma gazeti la Jambo Leo kupitia website www.jamboleo.co.tz
Utajipatia habari mbalimbali ambazo zimetokea nyumbani Tanzania na
matukio mengine duniani,gazeti la Jambo Leo linatolewa na kampuni ya
Jambo Concepts Tanzania Limited, inayochapisha Jarida la Jambo Brand
Tanzania, gazeti la michezo la kila wiki, Staa Spoti na gazeti la
matangazo la Dar Metro linalotoka kila baada ya wiki mbili.
CHUMBI A MKOA WA PWANI WAPANDA MITI
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, ameongoza wakazi wa Chumbi
A, Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, katika zoezi la upandaji miti ikiwa ni
sehemu...
21 hours ago
No comments :
Post a Comment