Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 12, 2015

BONDIA VICENT MBILINYI AJIANDAA KUMKABILI DEO NJIKU DESEMBA 25


Bondia Ramadhani Maonya kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano yao ambapo Mbilinyi anajiandaa kucheza na Deo Njiku desemba 25 na Maonya anajiandaa kucheza na Said Faraji January 2 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ramadhani Maonya kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano yao ambapo Mbilinyi anajiandaa kucheza na Deo Njiku desemba 25 na Maonya anajiandaa kucheza na Said Faraji January 2SUPER D BOXING NEWS

Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ibrahimu Maokola wakati wa mazoezi ya Mbilinyi kujiandaa na mpambano wake na Deo Njiku utakaofanyika desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Mohamed Muhunzi akipambana na Vicent Mbilinyi


Bondia Vicent Mbilinyi kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Omar Bai wakati wa mazoezi ya Mbilinyi kujiandaa na mpambano wake na Deo Njiku utakaofanyika desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D ' kushoto akimfundisha bondia Vicent Mbilinyi jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'upcut' wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mpambano wake na Deo Njiku utakaofanyika Desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

KOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' AKIWA NA BONDIA VICENT MBILINYI

Vicent Mbilinyi akifanya mazoezi na Rajabu Mhamila 'Super D'

No comments :

Post a Comment