Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 5, 2015

MABONDIA YONAS SEGU NA MFAUME MFAUME WASAINI MKATABA KUZIPIGA FEB 20 MANZESE


Mabondia Mfaume Mfaume kushoto na Yonas Segu wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga feb 2o katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam katikati ni Promota wa mpambano wa masumbwi Side Mkigoma Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondi Mfaume Mfaume na Yonas Segu wakisaini mkataba wa kuzipiga feb 20 katika ukumbi wa frends corner manzese katikati ni promota Side Mkigoma Picha na SUPER D BOXING NEWS


Promota wa mpambano wa masumbwi Side Mkigoma katikati akimkabidhi mkataba bondia Yonas Segu atakaezipiga na mfaume mfaume feb 20 katika ukumbi wa frends corner manzese
Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments :

Post a Comment