Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 11, 2016

MABONDIA MADA MAUGO NA ABDALLAH PAZI WACHIMBIANA MIKWALA MIZITO

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye ni mratibu wa mpambano wa mabondia Mada Maugo kushoto na Abdallah Pazi akiwainuwa mikono juu kwa ajili ya kutambulisha mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O Afrika utakaopigwa siku ya sikukuu ya pasaka katika uwanja wa ndani wa Taifa march 27 Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye ni mratibu wa mpambano wa mabondia Mada Maugo kushoto na Abdallah Pazi akiwainuwa mikono juu kwa ajili ya kutambulisha mpambano wao wa ubingwa wa U.B.O Afrika utakaopigwa siku ya sikukuu ya pasaka katika uwanja wa ndani wa Taifa march 27 Picha na SUPER D BOXING NEWS   


MABONDIA Mada Maugo na Abdallah Pazi 'Mfalme wa waalamu' wamendelea kutambiana  kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika siku ya March 27 sikukuu ya Pasaka katika uwanja wa ndani wa Taifa

akizungumza wakati wa kutambulisha mpambano wao uho 

Bondia Mada Maugo amesema kuwa Pazi i mtoto mdogo sana katika ulimwengu wa masumbwi nchini hivyo inambidi afanye mazoezi ya kutosha ili avuke japo raundi ya nne mana sitakuwa na msalia mtume wakati wa kupambana

pia naomba mashabiki zangu wafike mapema kwa ajili yakuona ninavyomsambalatisha Pazi mapema mana nimewapa bonanzi ya raundi nne mashabiki zangu

akijibu mapigo hayo bondia Pazi amesema yeye kwa sasa ndio anatamba nchini hivyo yeye ni mfalme na akuna wa kuusambalatisha ufalme wake kwani kilicho mkuta bondia aliempiga China kwa K.o ya raundi ya tatu ndicho kitakacho mkuta yeye kwani kesha zeeka sasa ni wakati wa damu changa pekee

nae mratibu wa mpambano uho Rajabu Mhamila 'Super D' amesema mbali y mpambano uho unaosubiliwa kwa hamu na mashabiki lukuku kutakuwa na mipambano ya kukata na shoka 

ambapo bondia Nassibu Ramadhani atakumbana na Fansic Miyeyusho na bingwa wa mikanda miwili ya Afrika U.B.O na WPBF, Ibrahimu Class 'King Class Mawe' atkumbana na Deo Samweli
na Pius Kazaula atakumbana na Seba Temba mpambano mwingine utawakutanisha Cosmas Cheka na Mohamed Matumla
 
Katika mpambano uho kutakuwa na uhuzwaji wa vifaa vya mchezo wa ngumi pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi kwa ajili ya kutambua sheria mbalimbali za mchezo zitakazokuwa zikitolewa bule kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa galama nafuu

No comments :

Post a Comment