Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 27, 2011

TIGO YAWAZAWADIA WASHINDI WA PROMOSHENI YA 'ZAMU YAKO KUSHINDA'


Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiloiano ya Tigo Bi. Alice Maro (kushoto) akimkabidhi mfano wa hund i ya shilingi milioni 4 mshindi wa shindano la 'Zamu yako Kushinda' Bi. Glory Remmy Makao makuu ya kampuni hiyo Dar es salaam leo katikati no Ofisa viwango wa Kampuni hiyo Bi. Pamela Shelukindo
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiloiano ya Tigo Bi. Alice Maro (kushoto) akimkabidhi mfano wa hund i ya shilingi milioni 4 mshindi wa shindano la 'Zamu yako Kushinda' Bw. Waziri Rashidi Makao makuu ya kampuni hiyo Dar es salaam leo katikati no Ofisa viwango wa Kampuni hiyo Bi. Pamela Shelukindo
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiloiano ya Tigo Bi. Alice Maro (kushoto) akimkabidhi mfano wa hund i ya shilingi milioni 4 mshindi wa shindano la 'Zamu yako Kushinda' Bi. Mariam Rashid Makao makuu ya kampuni hiyo Dar es salaam leo katikati no Ofisa viwango wa Kampuni hiyo Bi. Pamela Shelukindo

Monday, December 26, 2011

MANENO OSWARD VS RASHIDI MATUMLA AKUNA MBABE POINT 99 KWA 99 DROO


Bondia Rashidi Matumla (kushoto) akiwa chini baada ya kuteleza uku mpinzani wake Maneno Osward akimsubili kwa ajili ya kumpiga wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana wakati wa sikukuu ya Xmasi mpaka mwisho wa pambano point ni 99 kwa 99 hivyo kuwa droo.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Bondia Rashidi Matumla (kushoto) na Maneno Osward wakioneshana ufundi wa kutupa masumbwi wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana wakati wa sikukuu ya Xmasi mpaka mwisho wa pambano point ni 99 kwa 99 hivyo kuwa droo.(Picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/
Bondia Rashidi Matumla (kushoto) na Maneno Osward wakioneshana ufundi wa kutupa masumbwi wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana wakati wa sikukuu ya Xmasi mpaka mwisho wa pambano point ni 99 kwa 99 hivyo kuwa droo.(Picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/
Bondia Rashidi Matumla (kushoto) na Maneno Osward wakioneshana ufundi wa kutupa masumbwi wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana wakati wa sikukuu ya Xmasi mpaka mwisho wa pambano point ni 99 kwa 99 hivyo kuwa droo.(Picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/
Bondia Maneno Osward (kushoto) akimuacha Rashidi Matumla chini baada ya kuanguka kwa kuteleza wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana wakati wa sikukuu ya Xmasi mpaka mwisho wa pambano point ni 99 kwa 99 hivyo kuwa droo.(Picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/)

WAKAZI WA KARIAKOO ZILIZOKUA KOTA ZA BANDARI WAPINGA KUHAMISHWA WALA KUVUNJIWA NYUMBA ZAO




Na Mwandishi Wetu

WAKAZI wa Kariakoo Kota za Bandari kata ya Gerezani wameitaka serikali kutowahamisha wala kuwavunjia nyumba zao hadi hapo kesi yao iliyopo mahakama kuu kitengo cha Ardhi itakapo kamilika.
Hayo yalisemwa leo jijini Dar es Salaam na mwenyekiti wa mtaa huo alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuwa nyumba hizo walinunua kutoka serikali na kupewa mkataba.

Alisema eneo hilo linataka kuchukuliwa na serikali ili kujenga kituo cha mabasi yaendayo kasi bila ya kujali kuwa nyumba hizo waliuziwa ambapo serikali iliingia mkataba na mtu mmoja mmoja.

"Tumesikia fununu kuwa serikali inataka kuja kuvunja nyumba zetu kinguvu ikiwa kesi bado ipo mahakamani",alisema

Kwa upande wake katibu mwenezi wa siasa wa chama cha Mapinduzi Bw.Akida Hafidhi alisema serikali ilifanya makosa kuingia katika eneo hilo ikiwa inajua kabisa kuna mgogoro na kuongeza kuwa wanaomba haki iweze kutendeka kwa kuiachia mahakama kutoa maamuzi kama katiba inavyoelekeza.

Alisema serikali inatakiwa kutambua kuwa wakazi wa eneo hilo wanamiliki nyumba hizo kimkataba na hakuna mtu aliyevunja mkataba huo ambapo walinunua kutoka kwao.

Hata hivyo walisema watashangazwa endapo watasikia kuwa kuna mtu anaingilia uhuru wa mahakama ikiwa ibara ya 4(1) na 107(a) ya katiba ya Tanzania inaeleza wazi kuwa chombo cha mwisho chenye mamlaka ya kutekeleza utoaji haki ni mahakama ya Tanzania.

"Tumesema hivyo kwa sababu tulisikia baadhi ya watendaji serikalini walisema tulienda mahakamani kimakosa huku wakijua dhahili kuwa ni mahala ambapo haki inapatika",walisema

Walisema wanamuomba Rais Jakaya Kiwete asije akadanganywa kwa hilo kuwa kuna makubaliano yaliofanyika huku wakisisitiza kuwa kesi iliyopo ni kuvunjwa kwa mkataba na sio madai ya fidia kama ambavyo baadhi wa watendaji walivyopeleka taarifa serikalini.

WAKAZI WA KOTA ZA BANDARI WAJADILI KESSY YAO


Baadhi ya wakazi wa zilizokua kota za bandari Gerezani wakimsikiliza mwanasheria wao

Mwanasheria wa wakazi wa zilizokua kota za bandari Gerezani , Dkt. Sengondo Mvungi (kushoto) akizungumza na wateja wake. Dar es salaam jana kuhusu maendeleo ya kesi yao iliyo mahakama kuu ya Tanzania
Mwanasheria wa wakazi wa zilizokua kota za bandari Gerezani , Dkt. Sengondo Mvungi (kushoto) akizungumza na wateja wake. Dar es salaam jana kuhusu maendeleo ya kesi yao iliyo mahakama kuu ya Tanzania
Mwanasheria wa wakazi wa zilizokua kota za bandari Gerezani , Dkt. Sengondo Mvungi (kushoto) akizungumza na wateja wake. Dar es salaam jana kuhusu maendeleo ya kesi yao iliyo mahakama kuu ya Tanzania

JAHAZI MOLDEN TAARAB YATIMIZA MIAKA 5 NA KUZINDUA ALBAM YAKE YA MPENZI CHOCOLATE USIKU WA KUAMKIA LEO DIAMOND








Hassan Yahya Mwinyi Katibu Mkuu wa kundi la Taarab la Safari Malindi kulia akimpongeza Khamis Koha Mkurugenzi Msaidizi wa kundi la Muziki wa Taarab la Jahazi, baada ya kuzindua rasmi albam yao mpya ijulikanayo kama Mpenzi Chocolate na sherehe za miaka 5 ya kundi hilo zilizofanyika mkesha wa Krismasi usiku wa kuamkia leo, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee ikishuhudiwa na mashabiki lukuki wa muziki wa Taarab huku mtandao wako wa FULLSHANGWE ukiwa ni mmoja wa mashuhuda. Uzinduzi huo ulioambatana na Jahazi Molden Taarab kutimiza miaka 5 ilidhaminiwa na kinywaji cha Serengeti Lager kinachozaliswa na kampuni ya bia ya Serengeti (SBL)


Mwanamuziki Mzee Yusuf ambaye pia ni kiongozi wa kundi hilo akiingia ukumbini kwa staili ya aina yake huku akilakiwa na mashabiki wa muziki wa Taarab.


Mmoja wa kundi hilo Aisha Mahamoud akipagawisha mashabiki mbvele ya Camera na mashabiki wake.


Keki Maalum ya miaka 5 ya Jahazi Molden Taarab ikisubiri kuliwa na wapenzi wa bendi hiyo.


Vinywaji vya kumwaga kutoka kampuni ya bia ya Erengeti vilikuwepo ukumbini kama unavyoona.

HADIJA KOPA AKONGA NYOYO ZA WATU HOLLAND











Mkesha wa Christmass ulikuwa wa aina yake kwa wakazi wa jiji la Den Haag nchini Holland.Malkia wa mipasho akiwapagawisha mashabiki wake.

MSONDO YAFUNIKA TCC CHANG'OMBE USIKU WA KUAMKIA LEO










Mwanamuziki chipukizi mtoto wa mwanamuziki wa zamani wa bendi ya Msondo TX Moshi William TX Moshi William Hassani Moshi, TX,Junior, akinyanyuliwa juu juu na mashabiki wa bendi hiyo wakati alipokuwa akiimba katika mpambano wa bendi za Msondo Band na DDC Mlimani Park Sikinde jana, kwenye viwanja vya TCC Sigara Chang'ombe jijini Dar es salaam.


Mpambano huo ulivuta mashabiki wengi katika viwanja vya TCC Sigara ambapo bendi ya Msondo, ilionekana kuwapiku wenzao wa Sikinde kutokana na Shamrashamra zilizokuwa zikitawala wakati Msondo wakiimba jukwaani, Onyesho hilo limefanyika usiku wa kuamkia leo ikiwa ni pamoja na kusherehekea sikukuu ya Krismas.


Wanamuziki Shaban Dede na Hassani MoshiTX ,Junior wa Msondo wakiimba jukwaani huku mashabiki wakiwashangilia kwelikweli wakati wa onyesho hilo lililofanyika TCC Chang'ombe usiku wa kuamkia leo.


Hassani Moshi TX Junior akiimba katikati ya mashabiki , huku mashabiiki hao wakimshangilia.


Kutoka kulia ni mwimbaji wa Bendi ya Sikinde Hassan Kunyata, Yusuph Bernald na Shaban Lendi wapiga Saxaphone wakifanya vitu vyao jukwaani.


Mwimbaji wa bendi ya Sikinde Othman Kambi akicheza sambamba na wanenguaji wa bendi hiyo wakati bendi hiyo ilipotupa karata yake ya mwisho usiku wa kuamkia leo.


Mashabiki wakipanga mstari huku wakiserebuka na Msondo.


Umati mkubwa wa mashabiki waliohudhuria katika onyesho hilo usiku wa kuamkia leo.


Wadau wakijimwaga na muziki wa Msondo hebu wacheki.


Mpiga gitaa la solo wa bendi ya Msondo Said Mabela wa pili kutoka kushoto akila pozi kwa picha na wadau usiku wa kuamkia leo.

Sunday, December 25, 2011

SWALEHE KITABU AMALIZA KUPIGA NONDO CHUO CHA IMTU


Swareh Kitabu baada ya kula nondozzzzz katika chuo cha International Medical & Technological University IMTU
Swalehe KItabu akiwa katika pozi
Mama Mzazi wa Dkt,Swalehe Kitabu akimvisha shada la mauwa mtoto wake

TANGAZO LA DAWA YENYE NGUVU


DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
ALLY WA YANGA BOMBA UHURU NA MSIMBAZI 0787230551 AU 0652755838


PIGA NO O713827689, 0755074505 , au 0719 541366
,0652755838 UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM

BUGURUNI LOZANA STENDI YA TAX ULIZIA ADAMU KIBANDANI 0755875884

KARIAKOO SHULE YA UHURU STENDI YA MABASI YA TANDIKA ULIZIA ZUNGU MUHUZA TIKETI 0712743870

NA UKIWA ILALA SHARIF SHAMBA FIKA DSJ BANDA NAMBA 14 SIMU 0718718671

NA UKIWA KOTA ZA BANDARI KARIAKOO FIKA MKUNGUNI KIBANDANI KWA HUSEIN 0753893295

MWANANYAMALA FIKA JABA KLABU ULIZA MACHELLAH 0713470492

ENZOY INALETA HESHIMA

Saturday, December 24, 2011

RASHIDI MATUMLA NA MANENO OSWARD WAPIMA UZITO LEO KWA AJILI YA MPAMBANO WAO KESHO


Rashidi Matumla na Maneno Osward WAkipima uzito leo
Mratibu wa pambano la Ngumi za kulipwa, Shabani Adios 'Mwayamwaya'
(katikati), akiinua mikono ya mabondia,Maneno Osward 'Mtambo wa Gongo'
kushoto na Rashidi Matumla 'Snake Man', baada ya kupima uzito leo, kwa
ajili ya pambano lao, litakalofanyika kwenye Ukumbi wa Helnken Mtoni
Kijichi, Dar es Salaam siku ya Xmasi. (Picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com)




Mratibu wa pambano la Ngumi za kulipwa, Shabani Adios 'Mwayamwaya'
(katikati), akiwashuudia mabondia,Maneno Osward 'Mtambo wa Gongo'
kushoto na Rashidi Matumla 'Snake Man', wakitunishiana misuli baada ya
kupima uzito leo, kwa ajili ya pambano lao, litakalofanyika kwenye
Ukumbi wa Helnken Mtoni KIjichi, Dar es Salaam siku ya Xmas. (Picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com)

Friday, December 23, 2011

VENAS mPONJI NA CHAULEMBO PALASA KUONESHANA KAZI KESHO


Mabondia Chaulembo Palasa kushoto na Venas Mponji wakitunishiana misuli leo baada ya kupima uzito kwa ajili yas mpambano wao kesho
Mratibu wa pambano la Ngumi za kulipwa, Kaike Silaju (katikati), akiinua mikono ya mabondia, Chaulembo Palasa kushoto na Venasi Mponji, baada ya kupima uzito, kwa ajili ya pambano lao, litakalofanyika kwenye Ukumbi wa DDC Keko, Dar es Salaam kesho


Abed Zugo akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake Kesho kushoto ni Zuwena Kibene na MUstafa Buchato
Bondia Said Zungu akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake kesho kustoto ni Zuwena KIbene na MUstafa Buchato

BONDIA FLOYD MAYWEATHER AHUKUMIWA KIFUNGO



EXTRA BONGO,MKESHA WA X-MASS NDANI YA MEEDA



Na Michael Machellah

MKURUGENZI wa Bendi ya Extra Bongo,Ally Chocky aahidi kufatoa burudani ya pekee katika Mkesha wa Chrismas,jumamosi katika Ukumbi wa Meeda jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari Chocky amesema katika shoo hiyo patakuwa na ushindani wa pekee kati ya wanamuziki na wacheza shoo ambapo Mkurugenzi mwenyewe,Ally Chocky atapanda jukwaani kuchuana na Mwalimu wa walimu,Banza Stone kwa kutoa shoo na baaada ya hapo watahamia kwa wacheza shoo wa kike ambapo Mkongwe wa Dance, Aisha Mbegu atachuana na Otilia Boniphace (Kandoro).

Murugenzi alisema, katika onyesho hilo la Mkesha wa Chrismass wataporomosha nyimbo mpya ambazo wanarekodi katika kipindi hiki pamoja na kukumbushia nyimbo zilizotamba enzi hizo kama Fadhira kwa wazazi ya Rogath hega Katapila,Mwaka wa tabu na zinginezo

Wapenzi na mashabiki wa Bendi ya Extra Bongo wajitokeze kwa wingi kushuhudia mambo mapya ya Bendi yao na pia kukaa pamoja katika kukaribidsha kuzaliwa kwa Yesu Kristo yaani Chrismas

Bendi hiyo jumapili itaendelea na shoo katika Ukumbi wa Magereza yaani sikukuu yenyewe na juma lijalo itarejea katika ratiba yake ya kawaida.

Thursday, December 22, 2011

TIGO YASAIDIA WALIOKUMBWA NA MAFURIKO DAR ES SALAAM LEO





Ofisa Husiano wa Kampuni ya simu tigo, Alice Maro (kushoto) akimkabidhi sehemu ya msaada walioutoka kwa ajili ya wathilika wa mafuliko ya mvua kwa Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa katikati ni Meneja wa Kampuni hiyo Dar es Salaam na Zanzibar Bw. Alex Msigara






Maofisa wa kampuni ya tigo wakisaidia kutoa mizogo kwa ajili wa waathilika








Ofisa Husiano wa Kampuni ya simu tigo, Alice Maro (kushoto) akimkabidhi sehemu ya msaada walioutoka kwa ajili ya wathilika wa mafuliko ya mvua kwa Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa katikati ni Meneja wa Kampuni hiyo Dar es Salaam na Zanzibar Bw. Alex Msigara






Ofisa Husiano wa Kampuni ya simu tigo, Alice Maro (kushoto) akimkabidhi sehemu ya msaada walioutoka kwa ajili ya wathilika wa mafuliko ya mvua kwa Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa katikati ni Meneja wa Kampuni hiyo Dar es Salaam na Zanzibar Bw. Alex Msigara
kulia ni Diwani wa Kata ya Upanga Magharibi Bw. Godwin Mmbaga






misada ikitolewa




misaada mbalimbali ikitolewa na tigo