Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, December 26, 2011

JAHAZI MOLDEN TAARAB YATIMIZA MIAKA 5 NA KUZINDUA ALBAM YAKE YA MPENZI CHOCOLATE USIKU WA KUAMKIA LEO DIAMOND








Hassan Yahya Mwinyi Katibu Mkuu wa kundi la Taarab la Safari Malindi kulia akimpongeza Khamis Koha Mkurugenzi Msaidizi wa kundi la Muziki wa Taarab la Jahazi, baada ya kuzindua rasmi albam yao mpya ijulikanayo kama Mpenzi Chocolate na sherehe za miaka 5 ya kundi hilo zilizofanyika mkesha wa Krismasi usiku wa kuamkia leo, kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee ikishuhudiwa na mashabiki lukuki wa muziki wa Taarab huku mtandao wako wa FULLSHANGWE ukiwa ni mmoja wa mashuhuda. Uzinduzi huo ulioambatana na Jahazi Molden Taarab kutimiza miaka 5 ilidhaminiwa na kinywaji cha Serengeti Lager kinachozaliswa na kampuni ya bia ya Serengeti (SBL)


Mwanamuziki Mzee Yusuf ambaye pia ni kiongozi wa kundi hilo akiingia ukumbini kwa staili ya aina yake huku akilakiwa na mashabiki wa muziki wa Taarab.


Mmoja wa kundi hilo Aisha Mahamoud akipagawisha mashabiki mbvele ya Camera na mashabiki wake.


Keki Maalum ya miaka 5 ya Jahazi Molden Taarab ikisubiri kuliwa na wapenzi wa bendi hiyo.


Vinywaji vya kumwaga kutoka kampuni ya bia ya Erengeti vilikuwepo ukumbini kama unavyoona.

No comments :

Post a Comment