Pamoja na majukumu yangu magumu nimefurahi kwani leo nilipata wasaa wa kusalimiana na Rais Mh. Dk. Jakaya Kikwete mara baada ya kulifungua rasmi jengo la Golden Jubilee Towers, ilikuwa ni fursa nzuri kwangu na niliifurahia, Ninamtakia Afya njema na kazi njema katika majukumu yake ya kuongoza watanzania kwa ujumla na namtakia kila mafanikio katika kazi zake na Serikali yake.
FROM NAINOKANOKA TO MSOMERA : A NEW CHAPTER OF HOPE
-
For the Saitoti family, the relocation from Nainokanoka ward in Ngorongoro
conservation area to Msomera Handeni Tanga represented far more than a
geog...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment