Pamoja na majukumu yangu magumu nimefurahi kwani leo nilipata wasaa wa kusalimiana na Rais Mh. Dk. Jakaya Kikwete mara baada ya kulifungua rasmi jengo la Golden Jubilee Towers, ilikuwa ni fursa nzuri kwangu na niliifurahia, Ninamtakia Afya njema na kazi njema katika majukumu yake ya kuongoza watanzania kwa ujumla na namtakia kila mafanikio katika kazi zake na Serikali yake.
RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA RAIS WASTAAFU ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amekutana na Rais Wastaafu wa Zanzibar,...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment