Mkurugenzi wa Benki ya NBC Rawlence Mafuru akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa benki hiyo leo wakati alipozinduz rasmi Kituo cha kutoka Huduma kwa wateja NBC Contact Centre) kikiwa na lengo la kuboresha mitazamo na uzoefu wa wateja kwa benki hiyo kote nchini Kushoto ni Ngwitika Mwakahesya Meneja wa Kituo cha Mawasiliano huduma kwa Wateja.
CCM YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA ASKOFU MKUU RUWA’ICHI KUFUATIA KIFO CHA
KADINALI PENGO
-
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa
Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi
OFMCap...
9 hours ago





No comments :
Post a Comment