Mkurugenzi wa Benki ya NBC Rawlence Mafuru akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa benki hiyo leo wakati alipozinduz rasmi Kituo cha kutoka Huduma kwa wateja NBC Contact Centre) kikiwa na lengo la kuboresha mitazamo na uzoefu wa wateja kwa benki hiyo kote nchini Kushoto ni Ngwitika Mwakahesya Meneja wa Kituo cha Mawasiliano huduma kwa Wateja.
MWAKILISHI JAB ASHIRIKI KIKAO KAZI ,UKOKOTOAJI MCHANGO SEKTA YA SANAA
-
Mwakilishi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Mawazo
Kibamba, akishiriki pamoja na wadau wengine katika kikao kazi cha wataalamu
wa Ufua...
21 hours ago





No comments :
Post a Comment