Mkurugenzi wa Benki ya NBC Rawlence Mafuru akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa benki hiyo leo wakati alipozinduz rasmi Kituo cha kutoka Huduma kwa wateja NBC Contact Centre) kikiwa na lengo la kuboresha mitazamo na uzoefu wa wateja kwa benki hiyo kote nchini Kushoto ni Ngwitika Mwakahesya Meneja wa Kituo cha Mawasiliano huduma kwa Wateja.
BALOZI MATINYI
-
Balozi Mobhare Matinyi akisalimiana na Mwenyekiti wa Mabalozi wa nchi
wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) waliopo Algeria,
Balozi ...
1 day ago





No comments :
Post a Comment