Mkurugenzi wa Benki ya NBC Rawlence Mafuru akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa benki hiyo leo wakati alipozinduz rasmi Kituo cha kutoka Huduma kwa wateja NBC Contact Centre) kikiwa na lengo la kuboresha mitazamo na uzoefu wa wateja kwa benki hiyo kote nchini Kushoto ni Ngwitika Mwakahesya Meneja wa Kituo cha Mawasiliano huduma kwa Wateja.
RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA RAIS WASTAAFU ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amekutana na Rais Wastaafu wa Zanzibar,...
2 hours ago





No comments :
Post a Comment