Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 13, 2011

KAMBI YA ILALA YAMNOA UBWA SALUMU KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE WA DESEMBA 25

NO WAKE WA DESEMBA 25











Bondia Ubwa Salumu akioneshana kiwango cha masumbwi na bondia Abuu Mtambwe wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya ngumi Ilala Ubwa anajiandaa na mpambano wake na Mustafa Doto litakalofanyika desemba 25 katika ukumbi wa Heineken Mtoni Kijichi Dar es salaam



Ubwa Salumu kushoto akioneshana ufundi wa kutupa masumbwi na Abuu Mtabwe katika mazoezi kambi ya Ilala Dar es salaam



Kocha Mkongwe wa Mchezo wa ngumi Habibu Kinyogoli kulia akiwaelekeza mabondia Ubwa salumu na Abuu Mtambwe jinsi ya kutupa Masumbwi wakati wa mazoezi ya kambi ya Ilala










No comments :

Post a Comment