Rais Jakaya Kikwete akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa TBC Bw Clement Mshana wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa mtangazaji Halim Mchuka leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, kabla ya kwwenda kuzikwa makaburi ya Msasani baada ya Sala ya Ijumaa. (Picha na Ikulu)
KAMPUNI YA ALGERIA KUWEKEZA VIWANDA VYA KOROSHO TANZANIA
-
.
Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia
kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili
kuongez...
1 day ago
No comments :
Post a Comment