Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Matangazo wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Bi, Sarah Kibonde (kushoto) na Ofisa uhusiano wa mamlaka hiyo wakitoa maelekezo, mbalimbali kutoka kwa wananchi waliofika katika banda lao wakati wa Mahadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika viwanja vya Mwalimu nyerere sabasaba Dar es salaam
RAIS DKT. MWINYI AKUTANA NA RAIS WASTAAFU ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amekutana na Rais Wastaafu wa Zanzibar,...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment