Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiloiano ya Tigo Bi. Alice Maro (kushoto) akimkabidhi mfano wa hund i ya shilingi milioni 4 mshindi wa shindano la 'Zamu yako Kushinda' Bi. Glory Remmy Makao makuu ya kampuni hiyo Dar es salaam leo katikati no Ofisa viwango wa Kampuni hiyo Bi. Pamela Shelukindo
WAKAZI WA DAR ES SALAAM WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA UPASUAJI WA MABUSHA BURE
-
*Wizara ya Afya imeanza kambi maalum ya siku 30 ya upasuaji na uchunguzi
wa magonjwa ya mabusha na matende kwa wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.*
*Kamb...
1 day ago
No comments :
Post a Comment