Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Mawasiloiano ya Tigo Bi. Alice Maro (kushoto) akimkabidhi mfano wa hund i ya shilingi milioni 4 mshindi wa shindano la 'Zamu yako Kushinda' Bi. Glory Remmy Makao makuu ya kampuni hiyo Dar es salaam leo katikati no Ofisa viwango wa Kampuni hiyo Bi. Pamela Shelukindo
NITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAWEKEZAJI:RC NYONGO
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo, amesema ataendelea
kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji ili kukuza uwekezaji na uchumi wa
Mkoa wa...
3 days ago
No comments :
Post a Comment