Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey ikiteketea kwa moto mchana wa leo maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikujulikana mara moja na hakuna aliejeruhiwa wala kupoteza maisha katika ajali hii ya moto.
NGORONGORO YATANGAZA FURSA MPYA KWA WAONGOZA WATALII (THE BIRTH OF WONDERS
PHOTO COMPETITION)
-
Mabadiliko makubwa katika ushirikishwaji wadau wa sekta ya utalii
yameibuliwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ikianza mwanzo wa safari
mpya ya simu...
20 hours ago
No comments :
Post a Comment