Gari ya Abiria aina ya Isuzu Journey ikiteketea kwa moto mchana wa leo maeneo ya Buguruni Rozana jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikujulikana mara moja na hakuna aliejeruhiwa wala kupoteza maisha katika ajali hii ya moto.
BONDE LA OLDUVAI LILIVYOMTOA BINADAMU ANAYEPAMBANA NA MAISHA KARIAKOO
-
Mjua kwao hapotei njia, na mwenda pole hajikwai, unaweza ukafikiri utani
kumbe inaelekea ni hivyo wale wote wanaopambana Kariakoo, Gaza, Teheran na
kwin...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment