Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, June 10, 2014

MKUU WA WILAYA YA KIBONDO AONGOZA MAPOKEZI YA BONDIA IBRAHIMU CLASS .KING CLASS MAWE' BAADA YA KURUDI NA UBINGWA WA WPBF AKITOKEA ZAMBIA


 Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe ' kushoto akiwa na promota wa kimataifa Jay Msangi 'Jiwe Gumu' baada ya kutua nchini wakitokea Zambia walipo nyakuwa ubingwa wa WPBF Africa kwa kumpiga Mwansa Kabinga  wa Zambia katika Arthur Davis Stadium, Kitwe, Zambia picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe ' akiwasili nchini kutokea Zambia aliponyakua mkanda huo
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe ' akinyoosha mkanda wake wa ubingwa juu


Mashabiki mbalimbali wakimpongeza bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kuwasili nchini alipotokea Zambia ambapo alinyakuwa mkanda wa WPBF kushoto ni Jay Msang 'jiwe Ngumu' Mkuu wa wilaya ya Kibondo Venance Mwamoto na wadau mbalimbali wa mchezo wa masumbwi picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe ' katikati akiwa na mashabiki waliopanda nae ndege moja na kumpongeza baada ya kuwasili nchini kwa kunyakuwa ubingwa wa WPBF
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe '  akipokelewa kwaniaba ya serekali nakuu wa wilaya ya Kibondo Venance Mwamoto mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa julius Nyerere kulia ni Promota wa kimataifa Jay Msangi 'Jiwe Gumu' picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment