Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, June 1, 2014

USAILI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS KWA KANDA YA PWANI WASITISHWA HADI HAPO TUTAKAPOWATANGAZIA



 Baadhi ya wadau wa Tanzania Movie Talents wakijadiliana Jambo Kwa ajili ya Kusitisha Usaili wa Dar Kutokana na Msiba uliotokea wa Muongozaji Mahiri wa Vipindi na Filamu Tanzania, Marehemu George Tyson.
 Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents, Single Mtambalike na Roy Sarungi wakijadiliana jambo kutokana na Kufiwa na Mmoja wa Jaji katika Shindano hilo Vyonne Cherry
Washiriki waliofika wakipewa maelekezo kuhusiana na kusitishwa kwa usaili wa Shindano la Tanzania Movie Talents kwa Kanda ya Pwani

No comments :

Post a Comment