Mwenyekiti
wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta akifafanua kuhusu namna
wajumbe wa Bunge hilo watakavyopiga kura, bungeni mjini Dodoma Septemba
29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wajumbe
wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Bernard Membe
wakiteta kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 29, 2014. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
INDIA YAELEZWA BUSTANI YA EDEN INAPATIKANA NGORONGORO
-
India imefikiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupata simulizi nzuri
ya Eden inayosimuliwa kwenye vitabu vya dini inayoelezwa kwamba Adam na Eva
wa...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment