Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's
Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es
Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii
wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na
mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao
katika kambi yao.
SPIKA ZUBEIR ATUA NYUMBA YA MAAJABU NGORONGORO
-
Waswahili husema nyumba njema haikosi wageni na hii imedhihirika leo tarehe
4 Agosti, 2026 baada ya Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar mhe Zubeir
Al...
16 hours ago










No comments :
Post a Comment