Warembo wanaoshiriki shindano la Redd's
Miss Tanzania 2014 leo wameingia siku ya pili ya kambi yao jijini Dar es
Salaam na baada ya semina asubuhi na mapumziko ya mchana jioni hii
wamefanya mazoezi katika chumba maalum cha mazoezi 'Gym', ungana na
mpigapicha wa Father Kidevu Blog katika picha mbalimbali za warembo hao
katika kambi yao.
CCM YATAKA 'OMO' AACHANE NA STORI ZA UCHAGUZI ULIOPITA
-
Ma Mwandishi Wetu Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemtaka aliyekuwa Mgombea Urais wa Zanzibar
kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman 'OMO', ...
1 day ago










No comments :
Post a Comment