Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 19, 2014

MSONDO NGOMA YAENDELEA NA MAKAMUZI YA MIAKA 50 YA BENDI YAO


Wasanii wa bendi ya msondo ngoma wakutumbuiza katika uwanja wa sigara chan'gombe kutoka kushoto ni Said Mabela, Othumani Kambi na Mustafa Pishuu picha na www.burudan.blogspot.com
Wachalaza magita wa bendi ya msondo ngoma wakiwajibika wakati wa onesho lao kudhoto ni Said Mabela na Mustafa Pishuu picha na www.burudan.blogspot.com
Waimbaji wa bendi ya msondo wakitumbuiza wakati wa muendeleo wa wiki ya kutimiza miaka 50 ya bendi hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Sigara Chan'gombe Dar es salaam kutoka kushoto ni  Othumani Kambi, Shabani Dede na Juma Katundu Picha na
www.burudan.blogspot.com

No comments :

Post a Comment