Mbunge
wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akiongea ofisini kwake wakati
akikabidhi Vifaa mbalimbali kwa wananchi wa Jimbo la Morogoro Mjini
Ikiwa ni Utekelezaji wa Ahadi zake alizotoa Kipindi Akiomba kura ya Kuwa
Mbunge wa Jimbo Hilo Pamoja za Ahadi anazotoa kwenye Mfululizo wa Ziara
zake anazofanya Mara kwa mara katika Kata Mbalimbali za Jimbo la
Morogoro Mjini.
Mbunge
wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Azizi Abood akikabidhi Mbao kwa Viongozi
wa Msikiti kwajili ya Kumalizia ujenzi wa Msikiti ikiwa ni ahadi
aliyoitoa wakati wa ziara zake za mara kwa mara.
UWEPO NA MWENENDO WA KIMBUNGA “CHENGE” KATIKA ENEO LA KUSINI MAGHARIBI MWA
BAHARI YA HINDI.
-
Dar es Salaam, 22 Oktoba, 2025:
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya uwepo na mwenendo
wa Kimbunga “CHENGE” katika Bahari ya Hindi,...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment