Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, May 5, 2018

BONDIA IDD MKWERA ALIVYO MSAMBALATISHA RAMADHANI SHAURI MEI 4 TAIFA


Bondia Ramadhani Shauri kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde  na Idd Mkwera wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa mei 4 Mkwera alishinda kwa K.O ya raundi ya 9 Picha na SUPER D BOXING NEWS
Ramadhani Shauri na Idd Mkwera wakipambana

kati kazi ikiendelea

Bondia Idd Mkwera kushoto akipambana na ramadhani Shauri wakati wa mchezo wao uliofanyika mei 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa Mkwera alishinda K.O ya raundi ya 9 Picha na SUPER D BOXING NEWS


Bondia Idd Mkwera kushoto akipambana na ramadhani Shauri wakati wa mchezo wao uliofanyika mei 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa Mkwera alishinda K.O ya raundi ya 9 Picha na SUPER D BOXING NEWS


Kazi kazi kazi ya kutupiana makonde kati ta Ramadhani Shauri kushoto na Idd Mkwera kulia walivyokutana katika mpambano wao wa raundi kumi ata hivyo Mkwera alishinda K.O ya raundi ya 9 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ramadhani Shauri akiwa nyakanyaka baada ya kushambuliwa na makonde ya Idd Mkwera wakati wa mpambano wao wa raundi kumi hapo refa John Chagu akimwesabia Mkwera alishinda kwa K.O ya raundi ya 9  Picha na SUPER D BOXING NEWS

REFA JOHN CHAGU AKIMWAMLISHA BONDIA IDD MKWELA AENDE KWENYE KONA NYEUPE APATE KUMUHESABIA RAMADHANI SHAURI KUSHOTO

No comments :

Post a Comment