Benki ya NMB Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imetoa msaada wa madawati mia moja na kumi kwa shule za msingi Sinde, Maanga, Lyoto na Ilomba ili kuboresha huduma za elimu kwa shule hizo.
MVUA KUBWA KUTARAJIWA KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI NDANI YA SAA 24 ZIJAZO
-
Mamlaka ya hali ya hewa imetoa tahadhari ya uwezekano wa vipindi vifupi vya
mvua kubwa katika saa 24 zijazo, hususan katika baadhi ya maeneo ya mikoa
ya ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment