Benki ya NMB Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imetoa msaada wa madawati mia moja na kumi kwa shule za msingi Sinde, Maanga, Lyoto na Ilomba ili kuboresha huduma za elimu kwa shule hizo.
UWEPO NA MWENENDO WA KIMBUNGA “CHENGE” KATIKA ENEO LA KUSINI MAGHARIBI MWA
BAHARI YA HINDI.
-
Dar es Salaam, 22 Oktoba, 2025:
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya uwepo na mwenendo
wa Kimbunga “CHENGE” katika Bahari ya Hindi,...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment