Kufuatia tatizo la kiufundi lililojitokeza hapo nyuma blogu yako ya Mamapipiro ilishindwa kuendelea na utendaji wake, nawaomba radhi wadauwangu wote ambao mlikosa kupata matukio muhimu ya michezo na burudani kwa zaidi ya wiki moja,hivyo kwa sasa mambo yamekaa sawa hivyo endeleeni kuperuzi blogu yenu kwa habari kem kem za michezo na burudani kupitia www.mamapipiro.blogspot.com.
KAMPUNI YA ALGERIA KUWEKEZA VIWANDA VYA KOROSHO TANZANIA
-
.
Kampuni ya ubanguaji wa korosho ya Sarl Anacard’Or ya Algeria inatarajia
kutanua uwekezaji wake kwa kujenga viwanda vitatu nchini Tanzania ili
kuongez...
2 days ago

No comments :
Post a Comment