Kufuatia tatizo la kiufundi lililojitokeza hapo nyuma blogu yako ya Mamapipiro ilishindwa kuendelea na utendaji wake, nawaomba radhi wadauwangu wote ambao mlikosa kupata matukio muhimu ya michezo na burudani kwa zaidi ya wiki moja,hivyo kwa sasa mambo yamekaa sawa hivyo endeleeni kuperuzi blogu yenu kwa habari kem kem za michezo na burudani kupitia www.mamapipiro.blogspot.com.
TANZANIA WAMEPOTEZA MECHI YA KWANZA YA AFCON
-
Matokeo ya baadhi ya mechi za michuano ya kombe la Afcon.
6 hours ago

No comments :
Post a Comment