Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, February 28, 2012

WASHINDI WA SHINDANO LA ZAMU YAKO KUSHINDA WA KAMPUNI YA TIGO WAZAWADIWA

Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya tigo, Alice Maro kushoto
akikabidhi zawadi kwa mshindi wa lap top ,Flora Lyimo baada wa kuiibuka mshindi
wa promosheni ya zamu yako kushinda anaeshuudia katikati ni Mratibu wa
Promosheni na Matukio wa Kampuni ya tigo,Edward Shila
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Tigo, Alice Maro kushoto
akikabidhi mfano wa hundi kwa Fidelis Mosha baada ya kuibuka mshindi wa
promosheni ya zamu yako kushinda katikati ni Mratibu wa Promosheni na Matukio wa
Kampuni ya tigo, Edward Shila
Baadhi ya washindi wa promosheni ya zamu yako
kushinda inayoendeshwa na kampuni ya tigo wakiwa wameshika mfano wa hundi baada
ya kukabidhiwa leo

No comments :

Post a Comment