Baadhi
ya
Wamiliki wa magazeti Tandao walioko jijini Dar es Salaam, wakiwa katika
picha
ya pamoja walipokutana katika tafrija ya kuwaaga, washiriki wa shindano
la
Guinness Football Challenge 2013. Kutoka kushoto ni Kassim Mbaruku,
Fransic Dande, Josephat Lukaza, William Malecela, Ahmad Michuzi, John
Bukuku, Henry Mdimu na Othman Michuzi ambaye amekaa chini ni Mroki Mroki
a.k.a Father Kidevu.
JWTZ YARIDHISHWA NA HALI YA USALAMA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, YAONYA
WANAHARAKATI NA WANAOHUSISHA JESHI NA SIASA
-
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeridhishwa na hali ya
usalama iliyopo nchini huku taifa likielekea kwenye Uchaguzi M...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment