Wanafunzi hao wakiwa na mabango yenye jumbe mbali mbali wamefanya maandamano hayo mchana wa leo kutoka chuoni hapo hadi makao makuu ya polisi mjini Dodoma kupinga utendaji kazi wa jeshi hilo na kulitaka kutoa majibu ya uchunguzi wa kifo cha mwenzao
JWTZ YARIDHISHWA NA HALI YA USALAMA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU, YAONYA
WANAHARAKATI NA WANAOHUSISHA JESHI NA SIASA
-
Na Mwandishi Wetu
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limeridhishwa na hali ya
usalama iliyopo nchini huku taifa likielekea kwenye Uchaguzi M...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment