Katibu wa chama cha Baiskeli Kanda ya Ziwa(KAMWASHI), John
Elisha akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mashindano ya Baikeli Kandaya
ya Ziwa yanayojulikana kwa “Safari Bike Race” yanayotarajiwa kufanyika kesho
Mkoani Shinyanga wakati wa kusherehekea sikukuu ya Nane nane.kutoka kulia ni
Mratibu wa mashindano hayo,Peter Zacharia,Meneja matukio Kanda ya Ziwa
TBL,Erick Mwayela,Meneja mauzo Syanyanga TBL,Robert Michae na Mwenyekiti wa
chama hicho, Elisha Elias.
MBETO: RAIS DKT. MWINYI KUTEKELEZA AHADI ZOTE BILA 'LONGO LONGO' ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi kimewatoa hofu waZanzibari kuwa ahadi zote za kisera
zilizoainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment