Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, June 26, 2011

BONDIA CHEKA AMDUNDA MKENYA KWA POINT

MABONDIA WAKISALIMIANA BAADA YA KUPIGANA SANA NA KUTOANA NGEO KUMAANISHA KUWA MCHEZO NI FURAHA NA NI MCHEZO KAMA MICHEZO MINGINE KUSHOTO NI DANIEL WANYONYI KUTOKA KENYA NA FRANCIS CHEKA WA TANZANIA
MASHABIKI WA KUFA MTU MOROGORO JANA




WADAU WA NGUMI WAKIPIGA PICHA

Matokeo yakitangwazw



Mashabiki wakifatilia mpambano uho jana





Bondia Francis Cheka akinyoshwa mkono juu na Refarii Omari Yazidu katikati wakati wa kutangaza mshindi picha na SUPER D BOXING COACH
Bondia Daniel Wanyonyi kushoto akitupa ngumi kwa bondia Cheka jana katika uwanja wa Jamuhuru Morogoro picha na Super D Boxing Coach

Bondia Wanyonyi akiendelea na Mashambulizi wakati wa mpambano uliofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro jana Cheka alishinda kwa point picha na Super D Boxing Coach
Asikali polisi wakimalisha ulinzi mkali uku wakiwa na mabomu ya kutoa machozi jana picha na Super D Boxing Coach

No comments :

Post a Comment