Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, June 26, 2011

MWANAMUZIKI SHAGGY ATUA JIJINI MWANZA TAYARI KWA SERENGETI FIESTA CCM KIRUMBA















Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers Jaji Mark Bomani, akimkaribisha Mwanamuziki Shaggy kutoka nchini Marekani wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza, tayari kwa onyesho lake kabambe litakalofanyika katika tamasha la Msimu wa Dhahabu na Serengeti Fiesta katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Kesho.


Shaggy akipiga picha na warembo wawili mara baada ya kukabidhiwa ua kama ishara ya kumkaribisha wakati alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza leo mchana.


Meneja wa kinywaji cha Serengeti Lager Allan Chonjo akisalimiana na mwanamuziki Shaggy mara alipowasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza leo mchana.


Mtangazaji wa Clouds Rubeny Ncha kali akifanya mahojiano na mwanamuziki Shaggy mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza.


Mwanamuziki Shaggy akipozi kwa picha na warembo wa mwanza mara baada ya kwasili jijini huo leo mchana.


Mkurugenzi wa Clouds Entertainment Bw. Joseph Kusaga akimuongoza mwanamuziki Shaggy kutoka nchini Marekani mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Mwanza leo mchana.

No comments :

Post a Comment