
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye kambi ya warembo hao, jijini Dar es Salaam leo, mratibu wa shindano hilo, Angela Msangi, amesema kuwa katika kunogesha fainali ya shindano hilo wamemwalika msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo flava’, Dully Skyes ambaye atatoa burudani sambamba na wasanii wengine walioalkwa.



No comments :
Post a Comment