Afisa Elimu Mwandamizi wa wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, Nyambega Salum (kulia) akimkabidhi mmoja kati ya wanafunzi wa shule ya Sekondary ya Mkonjowano, sehemu ya vitabu vya msaada vilivyotolewa na Kampuni ya Airtel kwa shule nne za mkoa huo. Ikiwa ni katika kutimiza juhudi za kusaidia jamii hapa nchini, Airtel imekabidhi msaada wa vitabu vya kiada na ziada kwa shule za sekondar
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment