Afisa Elimu Mwandamizi wa wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, Nyambega Salum (kulia) akimkabidhi mmoja kati ya wanafunzi wa shule ya Sekondary ya Mkonjowano, sehemu ya vitabu vya msaada vilivyotolewa na Kampuni ya Airtel kwa shule nne za mkoa huo. Ikiwa ni katika kutimiza juhudi za kusaidia jamii hapa nchini, Airtel imekabidhi msaada wa vitabu vya kiada na ziada kwa shule za sekondar
HII NDIO LAETOLI
-
Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro ikiongozwa na
makamu Mwenyekiti Dkt. Harriet Mtae jana tarehe 11 julai, 2026 imekagua
ubores...
1 day ago
No comments :
Post a Comment