Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, January 1, 2013

MAKARIBISHO YA MWAKA MPYA!



Waumini wa dini ya Kikristo wakisali kwenye ibada ya ya mkesha wa kukaribisha mwaka mpya na kumshukuru mungu kwa kumaliza mwaka uliopita.Ambapo kwenye ibada hiyo ambayo mgeni rasmi alitarajiwa kuwa raisi Jakaya Kikwete lakini aliwakilishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira.
Waumini hao wakishangilia mara baada ya kufika saa sita kamili za usiiku
.Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Goodluck Ole Madeye (kulia), Balozi Mdogo wa Marekani nchini, Elizabeth Petro (kushoto), na Mbunge wa viti maalumu (CCM), Mbeya mjini Dk. Mary Mwanjelwa wakiwa kwenye ibada hiyo.
    Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira (katikati), akipunga bendera wakati wa mkesha wa mwaka wa kuliombea Taifa uliofanyika uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Wasira alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika mkesha huo ulioshirikisha madhehebu ya Kikristo 50. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Mkesha huo Askofu Kenneth Damas kutoka Mighty Revival Ministries.

No comments :

Post a Comment