Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, January 20, 2015

SUPER D AMNOA BONDIA IBRAHIMU CLASS 'KING CLASS MAWE' KUMKABILI CHEKA FEB 28



Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia bingwa wa mkanda wa W.P.B.F Africa,  Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi za 'upcat' mkunjo wa chini kwa ajili ya kupiga chembe na kidevu wakati anacheza na mpinzani Class anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa wa W.B.O Africa mpambano utakaofanyika Feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimwelekeza bondia bingwa wa mkanda wa W.P.B.F Africa,  Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi za 'upcat' mkunjo wa chini kwa ajili ya kupiga chembe na kidevu wakati anacheza na mpinzani Class anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa wa W.B.O Africa mpambano utakaofanyika Feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimwelekeza bondia bingwa wa mkanda wa W.P.B.F Africa,  Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi za 'upcat' mkunjo wa chini kwa ajili ya kupiga chembe na kidevu wakati anacheza na mpinzani Class anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa wa W.B.O Africa mpambano utakaofanyika Feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimwelekeza bondia bingwa wa mkanda wa W.P.B.F Africa,  Ibrahimu Class 'King Class Mawe' jinsi ya kupiga ngumi zilizo nyooka wakati anacheza na mpinzani Class anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa wa W.B.O Africa mpambano utakaofanyika Feb 28 katika uwanja wa ndani wa taifa Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS




Bondia bingwa wa WPBF Africha Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto akiwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila Super D


Bondia bingwa wa WPBF Africha Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto akiwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila Super D



kutoka kushoto ni Shabani Kaoneka , Imani Daudi, Kelvin Majiba, Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' Salumu Mponda Omari Bai na bingwa wa mkanda wa WPBF Africa Ibrahimu Class 'King Class Mawe'


baaada ya mazoezi picha ya pamoja super d wa pili kulia

Kocha Super D wa pili kulia akiwa na vijana wajke baada ya mazoezi makali
Bondia bingwa wa WPBF Africha Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kushoto akiwa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila Super D

No comments :

Post a Comment