Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, May 22, 2015

MABONDIA WAPIMA UZITO KUTWANGANA KESHO PANANDI PANANDI ILALA BUNGONI



Bondia Raymond Mbwago kutoka katika Super d Boxing Clab ya Uhuru Kariakoo akipima uzito kwa ajili ya mpambano wa kesho katika ukumbi wa Panandi panandi Ilala kulia niu msimamizi kutoka katika kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC Ally Bakari Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Salim Mponda akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake wa kesho utakaofanyika katikas ukumbi wa panandi panandi ilala bungoni kulia ni Alli Bakari Champion ambaye ni msimamizi kutoka kamisheni ya ngumi TPBC Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Ramadhani Maonya kutoka Super D Boxing Clab iliyopo Shule ya Uhuru Kariakoo akipim uzito kwa ajili ya mpambano wa kesho jumamosi katika ukumbi wa panandi panandi ilala Dar es salaam kulia ni msimamizi kutoka kamisheni ya ngumi za kulipwa TPBC Ally Bakari Picha na SUPER D BOXING NEWS
Msimamizi wa marefarii wa mchezo wa masumbwi kutoka kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC Ally Bakari kushoto akiwakumbusha sheria mbalimbali mabondia Ramadhani Maonya kulia na Bilali Ngonyani katikati Picha na SUPER D BOXING NEWS

Msimamizi wa Marefarii kutoka Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Nchini TPBC Ally Bakari kulia akiwakumbusha sheria mbalimbali mabondia waliojitokeza katika kupima kwa ajili ya mpambano wa kesho jumamosi katika ukumbi wa pandi panandi ilala bungoni Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments :

Post a Comment