Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 29, 2015

SELCOM YAONGEZA MAPATO YA TAZARA COMPUTER TRAIN KASI



 
 
KAMPUNI ya Selcom Tanzania imesema kwa kushirikiana na Tazara imefanikiwa kuongeza mapato ya fedha kwa mfumo wa ukatisha tiketi ulioanza kutumiwa na shirika la reli la Tazara.

Akizungumza na mwandishi  wa gazeti hili, Bw. Juma Mgori,  ambaye in Meneja Ukuzaji Biashara na Masoko wa Kampuni ya Selcom Tanzania, alisema  kupitia vifaa vyao vya kukata tiketi (POS), wananchi wameondolewa adha kubwa waliyokuwa wakiipata wakati wa kukata tiketi katika shirika reli la Tazara.

Alisema kuwa, kutokana na mpango huo,  TAZARA imefanikiwa kuongeza mapato kwa abiria kukatiwa tiketi kwa mfumo wa mashibe hizo.

Mfumo huo ni rahisi na bora zaidi na hivi karibuni kampuni ya Selcom inatarajia kuzindua kadi zake mpya za malipo zijulikanazo kama SELCOM PAYPOINT CARD ambazo mbali na malipo mbalimbali na uwezo wa kutuma Pesa kwenye mitandao yote.

 Kadi hizo zinaweza kuwa njia sahihi kwenye njia za usafiri kama treni, mabasi ya mikoani na hata daladala.

Bw. Mgori alisema kuwa, kadi hizo ni salama na zenye uwezo mkubwa zikiwa zimethibitishwa na kuidhinishwa katika viwango vya nchini na hata vya kimataifa.

"Tunajivunia ubunifu wetu huu ambao unafanyika hapa nyumbani na kampuni ya kizawa na wataalamu wazawa. Ikumbukwe pia kadi hizi hivi sasa zinatumika na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa wale wastaafu kutoa Pesa zao na ziko kwenye majaribio.

No comments :

Post a Comment