Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, January 25, 2016

MATUKIO MBALIMBALI BUNGENI MJINI DODOMA.


                         Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora , Angela                   Kairuki akiteta na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Ashatu                                                      Kijaji bungeni mjini Dodoma Januari 25, 2016.
 Waziri Mkuu, Kassim Majalaliwa akisalimiana na Mbunge wa Nkansi Ally Kessy kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Januari 25, 2016.
 Waziri Mkuu, Kassim Majalaliwa akisalimiana na Mbunge wa Mbozi Magharibi, David Silinde kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Januari 25, 2016. Katikati ni Mbunge wa Nkansi, Ally Kessy.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Songwe, Philip Mulugo kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Januari 25, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wazee kutoka jimbo la Chemba Ofisini kwake bungeni mjini Dodoma Januari 25,2016. Kushoto kwake ni Mbunge wa Chemba Juma Nkamia. 

 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments :

Post a Comment