Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, September 30, 2016

MABONDIA DEO SAMWELI NA FABIAN LYMO WASAINI KUZIPIGA NOVEMBA MOSI MANZESE

MABONDIA DEO SAMWELI NA FABIAN LYMO WASAINI KUZIPIGA NOVEMBA MOSI MANZESE

Mabondia Deo Samweli kushoto na Fabian Lymo wakitunishiana misuli mbele ya promota wao Hassan Magole baada ya kuwasainisha mpambano wa raundi kumi utakaofanyika Novemba mosi katika ukumbi wa kobelo Pub Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Fabian Lymo kushoto na Deo Samweli 
  wakitunishiana misuli 
baada ya kusainisha mpambano wa raundi kumi utakaofanyika Novemba mosi katika ukumbi wa kobelo Pub Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

Rais wa Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC Chaurembo Palasa kulia akishudia bondia Deo Samweli akitia saini kuzipiga na Fabian Lymo novemba mosi kushoto ni  promota wao Hassan Magole
Rais wa Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC Chaurembo Palasa kulia akishudia bondia Fabian Lymo akitia saini kuzipiga na Deo Samweli novemba mosi kushoto ni  promota wao Hassan Magole




Mabondia Deo Samweli kushoto na Fabian Lymo wakitunishiana misuli mbele ya promota wao Hassan Magole baada ya kuwasainisha mpambano wa raundi kumi utakaofanyika Novemba mosi katika ukumbi wa kobelo Pub Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

Mabondia Deo Samweli kushoto na Fabian Lymo wakitunishiana misuli mbele ya promota wao Hassan Magole baada ya kuwasainisha mpambano wa raundi kumi utakaofanyika Novemba mosi katika ukumbi wa kobelo Pub Manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments :

Post a Comment