Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 18, 2016

MAKOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI WAKUTANA KUJADILI CHANGAMOTO ZA MCHEZO UHO



Kocha wa mchezo wa masumbwi nchini kutoka Tanga Chalres Muhiru kulia akifafanuwa jambo wakati wa kikao cha makocha kiricho itishwa na KINYOGOLI FONDOTION mwishoni mwa wiki iliyopita kushoto ni Habibu Kinyogoli Master Picha na SUPER D BOXING NEWS


 Kocha wa mchezo wa ndondi Habibu Kinyogoli Masta akizungumza na makocha walio hudhulia katika kikao cha makocha kilichofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kulia na Charles Muhiru Spens Picha na SUPER D BOXING NEWS
 MAKOCHA WA MCHEZO WA MASUMBWI WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA BAADA YA KIKAO CHAO
 Makocha wa mchezo wa masumbwi wakiwa katika picha ya pamoja baada kikao chao waliosimama kutoka kushoto ni Sako Mtulya, Ibrahimu Kamwe, Ally Bakari, Michael Buchato na waliokaa kutoka kushoto ni Chalres Muhiru wa Tanga Habibu Kinyogoli pamoja na Kocha wa kimataifa wa machezo huo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS
Makocha wa mchezo wa masumbwi wakiwa katika picha ya pamoja baada kikao chao waliosimama kutoka kushoto ni Sako Mtulya, Ibrahimu Kamwe, Ally Bakari, Michael Buchato na waliokaa kutoka kushoto ni Chalres Muhiru wa Tanga Habibu Kinyogoli pamoja na Kocha wa kimataifa wa machezo huo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments :

Post a Comment