Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 8, 2017

MABONDIA BAINA MAZOLA NA FRANSIC MIYEYUSHO KUZIPIGA AGOST 26 KINONDONI



Image may contain: 3 people
BONDIA BAINA MAZOLA 'SIMBA MAZOLA' KUSHOTO NA FRANSIC MIYEYUSHO 'CHICHI MAWE' KUSHOTO
Mwandishi Wetu
MABONDIA Fransic Miyeyusho 'Chichi Mawe' na Baina Mazola 'Simba Mazola' wameingia mkataba wa makubaliano ya kuzipiga siku ya Agost 26 katika ukumbi wa Vijana uliopo Kinondoni Dar es salaam mabondia hawo ambao kila mmoja anatamba kumnyuka mwenzake

katika raundi za awali kwa kila mmoja
mpambano uho umekuwa na mashabiki wengi kila mmoja akijinasibu kumdunda mwenzake pande hizo mbili zinazotaka kujua nani zaidi ya mwenzie ni kambi ya Mazola ambapo anatokea kitongoji cha Mabibo ambapo kuna mabondia wengi upande uho 

uku Miyeyusho akitaka kuonesha ukongwe wake katika masumbwi na kusema yeye ni zaidi ya mabondia wote katika uzito wake

akizungumzia mpambano uho mratibu wa pambano ilo kaizirege jabiri dragon kaizum amesema mbali ya mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine mengi tu yatakayosindikiza siku hiyo

sajo bosco Jr atakumbana na juma rashidi mdobi na Issa Nampepecha ataoneshana umwamba na Abbas Mwamba wakati Karim Ramadhani ataoneshana kazi na Yohana Dhobian na Keisii Amali atakuchiana ngumi na Hashimu Chisola na Said Wigo atazipiga na Chicho Ramadhani

Mapambano haya yote yatasimamiwa na Kamisheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBC ambayo yenye dhamana ya kuendesha mchezo wa ndondi za kulipwa nchini


Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Floyd Mayweathar,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo vitakaokuwa vikitolewa na Rajabu Mhamila 'Super D' kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuhamasisha mchezo wa masumbwi

No comments :

Post a Comment