Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 16, 2017

MABONDIA KIVU MAWE NA JACOBO MAGANGA WASAINI KUZIPIGA DESEMBA 31 TAIFA


Mabondia Kivu Abdi 'Kivu Mawe' kushoto akitunishiana misuli na Jacobo Maganga baada ya kusaini mkataba wa makubaliano ya kuzipiga desemba 31 katika uwanja wa ndani wa Taifa utakuwa ni mpambano wa kufunga mwaka na kufungulia mwaka Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Kivu Abdi na Jacobo Maganga wakiangaliana kwa usomgo baada ya kusaini mkataba kwa ajili ya kuzipiga Desemba 31 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondia Kivu Abdi na Jacobo Maganga wakiangaliana kwa usomgo baada ya kusaini mkataba kwa ajili ya kuzipiga Desemba 31 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa katikati ni promota Dotto Texas Picha na SUPER D BOXING NEWS
Promota Dotto Texas katikati akiwainua mikono juu mabondia Kivu Abdi na Jacobo Maganga wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa Desemba 31 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Kivi Adbdi akisaini mkataba wa kuzipiga na Jacobo Maganga mbele ya Promota Dotto Tesax kulia

Bondia Jacobo Maganga akisaini kuzipiga na Kivu Abdi mbele ya Promota Dotto Tesax

No comments :

Post a Comment