Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, May 5, 2018

BONDIA IDD MKWERA AMPIGA KWA K.O RAMADHANI SHAURI

Bondia Idd Mkwera kushoto akipambana na ramadhani Shauri wakati wa mchezo wao uliofanyika mei 4 katika uwanja wa ndani wa Taifa Mkwera alishinda K.O ya raundi ya 9 Picha na SUPER D BOXING NEWS

Na Mwandishi Wetu


BONDIA Idd Mkwera ameibuka kidedea baada ya kumsambalatisha bondia Ramadhani Shauri kwa K.O ya raundi ya 9 katika mpambano uliokuwa na ushindani mkubwa sana lililofanyika katika uwanja wa ndani wa taifa siku ya mei 4

akizungumza baada ya kutangazwa mshindi Mkwera amesema alikuwa amepewa mkataba kwa sikyu 16 ata hivyo siku hizo alizifanyia kazi na kazi watu wameiona anajijia kuwa yeye ni bondia wa kulipwa hivyo anatakiwa kuwa fiti wakati wote na ndicho alichokifanya

Mkwera ambaye ananolewa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa ngumi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kwa kushilikiana na Sako Mwaiseje 'Dundu'Migo hood Staile No Pain No gain

ndio wamekuwa wakimnowa katika mipambano yake yote mpaka kufikia hapo alipofika na kumuweka katika mazingira salama ya kimchezo

Mkwera kwa sasa ana mpinzani alijinasibu kwa kusema kuwa yeye ni moto hivyo ukiusogerea lazima uunguwe akuna jinsi ata hivyo mpambano huo ulikuwa mzuri na wakuvutia kwa wapenzi wa mchezo huo kwa kuwa mabondia wote walikuwa wanajua kucheza kiufundi zaidi

mbali na mpambano uho mpambano mwingini ulikuwa kati ya Amani bariki na haidar Mchanjo ambapo mchanjo alishinda kwa pointi na saidi chino alimsambalatisha kwa pointi bondia Hamza Mchanjo na jems Kibazange alimpiga K.O ya raundi ya 3 bondia Karimu Ramadhani

katika mchezo uho ingawa kulikuwa na mvua watu walijitokeza kuangalia ngumi na kupata burudani wanayo itaka hakika wamekizi vigezo vya kuwa mabondia wa kulipwa

No comments :

Post a Comment