Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, May 24, 2011

Mkutano Wa Siku Tatu Wa Uwazi Na Uwajibikaji Katika Bajeti Kwa Nchi Za Afrika Mashariki Wafunguliwa


Mgeni rasmi katika mkutano wa siku 3 wa kujadili uwazi na uwajibikaji katika bajeti kwa nchi za Afrika Mashariki ambae pia ni Waziri wa Afrika Mashariki Samweli Sitta wa tatu kulia akijadili jambo na Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali Ludovick Utouh. Wengine ni Mwenyeketi wa kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi Abdalah Kigoda wa kwanza kulia, Mbunge wa Bariadi na mwenyeketi wa kamati ya Bunge ya Hesabu Za Serikali John Cheyo wa pili kulia wakiwa katika mkutano wa siku tatu wa kujadili uwazi na uwajibikaji katika bajeti za nchi za Afrika Mashariki leo asubuhi katika ukumbi wa Ubungo Plazza.

Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Fedha na uchumi Abdal Kigoda akitoa mada juu umuhimu wa uwazi na uwajibika katika bajeti za serikali.

No comments :

Post a Comment