Waimbaji wa bendi ya taarabu ya coast morden taarabu wakiimba wakati wa onesho lao lililofanyika mwishoni mwa wiki kutoka kushoto ni Wastara Omari,Aisha Masanja, Hanifa Juma na Samira Rajabu
Mwimbaji wa bendi ya msondo ngoma Hassani Moshi TX JR akiimba sambamba na mpiga gita la rithimu wa bendi hiyo Zahoro Bangwe wakati wa onesho lao lililofanyika DDC Kariakoo
No comments :
Post a Comment