Waliokuwa washitakiwa katika kesi ya wizi wa Sh. bilioni 1.8 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Farijara Hussein na binamu yake Rajabu Rajabu Maranda wamehukumiwa leo katika Mahakama ya Hakim Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, kifungo cha miaka mitano jela na kurudisha serikalini fedha hizo. Picha kutoka Kamanda wa Matukio
CCM: TUNAENDA KUWASIMAMIA MAWAZIRI KUTEKELEZA ILANI
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Chama cha Mapinduzi kimesema kuwa kinaenda kuwasimamia maWaziri
walioteuliwa na Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi kutek...
5 hours ago
No comments :
Post a Comment