Waliokuwa washitakiwa katika kesi ya wizi wa Sh. bilioni 1.8 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Farijara Hussein na binamu yake Rajabu Rajabu Maranda wamehukumiwa leo katika Mahakama ya Hakim Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, kifungo cha miaka mitano jela na kurudisha serikalini fedha hizo. Picha kutoka Kamanda wa Matukio
KAYOMBO AOMBA USHIRIKIANO KUTEKELEZA MALENGO PWANI
-
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Richard Marcellino Kayombo, amewaomba
viongozi na watumishi wa Sekretarieti ya Mkoa kumpa ushirikiano katika
kutekeleza...
1 day ago
No comments :
Post a Comment