Bingwa wa zamani wa dunia wa ndondi za kulipwa uzito wa juu, Evander 'The Real Deal' Holyfield wa marekani akiwa amewashika mijkono bondia Ruslan Chagaev wa Uzbekistan, kushoto na Alexander Povetkin wa Urusi kulia, katika siku ya kupima uzito kwa mabondia hao mjini Erfurt, Ujerumani juzi. Pambano la kuwania ubingwa wa dunia wa WBA uzito wa juu baina ya wawili hao lilitarajiwa kufanyika jana mjini Erfurt.
WHERE HUMANITY BEGINS ,WONDER ENDURES
-
Some places are admired for their beauty. Others are remembered for the
stories they hold. Ngorongoro is both. Addressing the 48th Session of the
UNES...
2 days ago

No comments :
Post a Comment