Bingwa wa zamani wa dunia wa ndondi za kulipwa uzito wa juu, Evander 'The Real Deal' Holyfield wa marekani akiwa amewashika mijkono bondia Ruslan Chagaev wa Uzbekistan, kushoto na Alexander Povetkin wa Urusi kulia, katika siku ya kupima uzito kwa mabondia hao mjini Erfurt, Ujerumani juzi. Pambano la kuwania ubingwa wa dunia wa WBA uzito wa juu baina ya wawili hao lilitarajiwa kufanyika jana mjini Erfurt.
NGORONGORO HAKUNA KULALA SABASABA.
-
Tukio la Ngorongoro kuonesha vivutio vya utalii mubashara kupitia runings
kubwa iliyofungwa katika banda la Wizara ya Maliasili na Utalii
limevutia wanan...
21 hours ago

No comments :
Post a Comment