Khalfan Kikwete, mtoto wa Rais Jakaya Kikwete(kushoto) akijaribu kuumiliki mpira aliposhiriki katika mazoezi ya timu ya Taifa ya Vijana chini ya miaka 17, kwenye Uwanja wa Karume Dar es Saalm, jana
Khalfan (kushoto) akiumiliki pia mpira wakati wa mazoezi hayo
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment