Meneja Uhusiano wa Zantel, Charles Jutta (kushoto) akimkabidhi Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu wa Zanzibar, Hamad Masoud Hamad luninga ambazo zitafungwa kwenye chumba cha kupokea wageni rasmi na chumba cha wanaosafiri katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Zanzibar, wakati wa hafla fupi iliyofanyika mjini Zanzibar jana. Msaada huu ni sehemu ya mchango wa Zantel wa mradi unaoendelea wa uwanja wa ndege wa Zanzibar.
NGORONGORO HAKUNA KULALA SABASABA.
-
Tukio la Ngorongoro kuonesha vivutio vya utalii mubashara kupitia runings
kubwa iliyofungwa katika banda la Wizara ya Maliasili na Utalii
limevutia wanan...
21 hours ago
No comments :
Post a Comment