
Shariff akikata utepe leo kuashiria makabidhiano rasmi ya jengo maalumu kwa
ajili ya watoto wenye walemavu wa akili katika shule ya msingi ya Gilmani
Rutihinda iliyopo katika kata ya Kigogo mansipaa ya Kinondoni jijini Dar es
salaam, pembeni yake kushoto ni Bw. Brad Morrow mfadhili wa jengo hilo.kushoto
ni Bi Rose Rupia mwenyekiti wa kikundi chakuwasadia watoto wenye walemavu wa
akili Kulia afisa wa elimu wa mansipaa ya Kinondoni akifutilia kwa umakini zoezi
hilo (PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE)

walemavu wa akili Bi Rose Rupia akisoma lisala wakati wa makabiziano ya jengo
hilo.

jambo katika hafla ya makabidhiano jengo maalum kwa ajili ya watoto wenye
walemavu wa akili.
No comments :
Post a Comment