
Mwenye rekodi ya kucheza
michezo 7 ya ngumi za kulipwa akiwa ameshinda mara 4 na kupigwa mara
moja na droo mara mbili Yohana alijiunga na ngumi za kulipwa mwaka 2011
ambapo mchezo wake wa kwanza kacheza na Seba Temba wa morogoro ambapo
alitoa nae droo na mchezo wake wa mwisho kucheza ni tareha 9,8,2013 akimpiga kwa T,K,O ya raundi ya pili bondia Shujaa Keakea
Mpambano uliofanyika katika ukumbi wa Friends Corner Hall, manzese Dar es salaam
No comments :
Post a Comment