Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, September 19, 2013

TBL YATOA MSAADA WA FULANA 1000 WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI



 Mkurugenzi wa Uhussiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania, Steve Kilindo (kulia) akimkabidhi moja kati ya fulana 1,000 zenye thamani ya sh. milioni 9 , Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani. Makabidhiano hayo yalifanyika jana jijini Dar es Salaam.

Kilindo akizungumza baada ya kukabidhi

No comments :

Post a Comment